Da Serina. Usalama ni jambo la kwanza tumshukurulo Maulana nasi twaamini kuwa ukimaliza kufanya yale yaliyo muhimu na yenye kuhitaji kufanyika sasa, utarejea kutupa tungo ambazo twaamini wapenda na watamani kuziweka.
Uwe na amani na kila lililo jema waombewa katika kila jema utendalo.
Amani, Heshima na Upendo kwako
Yasinte Ngonyani said,
August 1, 2009 at 09:41
Nashukuru kama ulifika salama na uwe na muda mzuri na ula vyakula vya nyumbani kwa wingi.
Fadhy said,
August 1, 2009 at 20:37
Twashukuru upo salama. Umekuwa kimya sana. Kila la kheri. Twakumiss sana.
Bwaya said,
August 5, 2009 at 16:09
Jamani da’Serina. Nimekumisi “niaje”. Nasubiri kwa hamu vitu vyenye ladha ya nyumbani nyumbani. Pole na pilika pilika za hapa na pale.
LUIHAMU said,
August 7, 2009 at 07:22
Hivi Anti Serina..
Nyumbani kwaweza kuwa ugenini?
Namaanisha hivi naweza kuwa nyumbani lakini nikajihisi niko ugenini.
Amani.
Mubelwa T Bandio said,
August 9, 2009 at 04:42
Da Serina. Usalama ni jambo la kwanza tumshukurulo Maulana nasi twaamini kuwa ukimaliza kufanya yale yaliyo muhimu na yenye kuhitaji kufanyika sasa, utarejea kutupa tungo ambazo twaamini wapenda na watamani kuziweka.
Uwe na amani na kila lililo jema waombewa katika kila jema utendalo.
Amani, Heshima na Upendo kwako
Simon Kitururu said,
August 16, 2009 at 15:55
Nakumisi Serina:-(
Ria said,
August 29, 2009 at 10:28
Wewe! we are still waiting on this end.
Yasinte Ngonyani said,
September 4, 2009 at 09:21
Det var roligt at få hälsingnar från dig. Här allt bra fast det lite regnig, blåst och kallt. Hoppas all väl. Tack att du hälsade. Kram
Kissima said,
September 4, 2009 at 21:31
Serinaserina dada,karibu tena malenga,
Kazizo tulizipenda,heko mawazo kupanga.