Umetuacha na machozi,
Umetuacha na majonzi…
Umemuacha binti akiuliza,
Maana ya maisha ni nini?
Hata kama tulishetengana,
Binti katufunga kama kamba…
Buriani Shahame,
Buriani mzazi mwenza…
Umetuacha na machozi,
Umetuacha na majonzi…
Umemuacha binti akiuliza,
Maana ya maisha ni nini?
Hata kama tulishetengana,
Binti katufunga kama kamba…
Buriani Shahame,
Buriani mzazi mwenza…
Sikudhania nitapata kushuhudia mambo kama yale niliyoyaona jana kule Go Down… sizungumuzii kuhusu onyesho lenyewe la Mo Faya lakini kuhusu wapangaji.
Tuliwasili pale baada ya kazi, mwendo wa saa moja hivi… tukawakuta watu wengi wamekusanyika pale nje… Kisa na maana… ubalozi wa Netherlands umelipia viti vyote kwa hivyo, wapangaji walionelea ya kuwa sie tusio wageni wa ubalozi, turudishiwe hela zetu au tukubali tikiti za siku nyingine… nakwambia… Mo Faya ikaanzia hapo!
Kama wewe ni mkaazi wa Nairobi, wafahamu hali ya barabara ilivyokuwa jana… msongomano wa magari kila ulengapo jicho… kwa mfano, nilitembea kutoka kazini hadi mjini katikati…nikatafuta teksi ya kunifikisha Go Downs… kawaida huwa dakika kumi hivi lakini jana ilichukua saa nzima hivi… kisha niambiwe eti sitapata kutazama Ma Faya?????
DUH!
Tulipiga kelele sana… waandalizi hawa husema ya kuwa wakenya hawajitokezi kuwapa motisha wenziwao sana sana katika haya maswala ya usanii….Mbona walituuzia tikiti basi kama ubalozi ulikuwa umeshalipia viti vyote? Tikiti si agano kati yangu na wao… tulikwamilia hapo hapo na kuwaambia waite polisi basi maana kilichotuleta hapo, kwa ahadi kati yetu (Tikiti) ni Mo Faya na sio kula chakula kilichandaliwa kule ndani, wala kutazama wazungu waliokuwa wamejaa kule… tukakataa katakata kukubali kurudishiwa hela za gharama zetu…
Tulifaulu. Tukaingia. Tukatazama Mo Faya. Tukafurahia. Tukaondoka.
UKOLONI MAMBOLEO POTELEA MBALI!!!!
Am I looking forward to the end of year slam tomorrow at Club Soundd…. hopefully there will be a few familiar faces there and good poetry!!! and laughter of course!!!
It’s Marvin’s birthday today and Kaasa’s latest post made me grin all the way to this post. Been following most of you through reader and must say I’m impressed by what Mube churns out… and James has made me rethink Open mic sessions… Hmmm… At least my head still functions when the need for it to is there.
It’s been hectic in Nairobi the past few months I have been on the ground. Hectic, in a very good way. I love waking up every morning and going to work… yes, I’ve become a workaholic and not because I’d like to increase my pay/ overtime benefits, but the joy of offering my services to people who really need them, and appreciate them. There is always a reason to smile even when things seem so desolate. Some situations can never get worse than they already are and encountering these situations has made me appreciate the fact that all I really have at the end of my day is my self, my conscience.
Yes, I’ve been sleeping quiet well at the end of the day (with a smile to boot), never mind the emotional roller-coaster that almost made me nuts…and not because of fatigue, but from knowing I’ve done all I humanely can for the day, and can live with it.
Thanks to ALL OF YOU who left very encouraging comments and greetings both on the blog and via mail. Deeply appreciated. Thanks also to Ras Luihamu for the great time in Dar.
Have a great weekend.
Moyo wangu waniuma…
Kwa nini si mwajua?
La sivyo nitawatambulia…
Mda wake utakapowadia.
Wadau sijawadharau…
Ila mengi nin’taka sahau.
Nitarudi ikishatulia…
Maumivu yananipasua.
Nipo nyumbani, nilifika salama kama wiki mbili zilizopita hivi. Pilkapilka ndizo nyingi mnavyoelewa hata hivyo tungo nitaziweka nitakapopata mda.
Nawatakieni weekendi njema!
Serina.
Mazoea kwangu kusoma utafiti wa wale walionitangulia. Leo sijui kwanini najihisi nimekerwa sana na hawa (Ingawa ni utafiti wa kale.. nawashwa sio mchezo)… Hivi swali langu ni hili.. je, ni vizuri kutounga mkono utafiti kama msimamo wako kuhusu matumizi ya ukabila kwenye utafiti hausikilizani na ule wa waandishi ingawa nyote mna nia moja?
ALTEMUS LA, FERGUSON AD. COMPARATIVE INCIDENCE OF BIRTH DEFECTS IN NEGRO AND WHITE CHILDREN. Pediatrics. 1965 Jul;36:56–61.
Chung CS, Myrianthopoulos NC. Racial and prenatal factors in major congenital malformations. Am J Hum Genet. 1968 Jan;20(1):44–60.
Kromberg JG, Jenkins T. Common birth defects in South African Blacks. S Afr Med J. 1982 Oct 16;62(17):599–602.
Woolf CM, Myrianthopoulos NC. Polydactyly in American negroes and whites. Am J Hum Genet. 1973 Jul;25(4):397–404.
Bush PJ, Rabin DL. Racial differences in encounter rates for otitis media. Pediatr Res. 1980 Oct;14(10):1115–1117.
Robinson DO, Allen DV. Racial differences in tympanometric results. J Speech Hear Disord. 1984 May;49(2):140–144.
Hinchcliffe R. Some geographical aspects of neuro-otology with particular reference to the African. Afr J Med Sci. 1972 Apr;3(2):137–148.
Kashgarian M, Rendtorff RC. Incidence of Down’s syndrome in American Negroes. J Pediatr. 1969 Mar;74(3):468–471.
Haerer AF, Anderson DW, Schoenberg BS. Prevalence of cerebral palsy in the biracial population of Copiah County, Mississippi. Dev Med Child Neurol. 1984 Apr;26(2):195–199.
Reed TE. Caucasian genes in American Negroes. Science. 1969 Aug 22;165(895):762–768.
Golden WL, Hanchett JM, Breslin N, Steele MW. Prader-Willi syndrome in black females. Clin Genet. 1984 Aug;26(2):161–163.
Wright HH, Still CN, Abramson RK. Huntington’s disease in black kindreds in South Carolina. Arch Neurol. 1981 Jul;38(7):412–414.
Cole LT. Blacks with orofacial clefts: the state of the dilemma. ASHA. 1980 Aug;22(8):557–560.
Siegel B. A racial comparison of cleft patients in a clinic population: associated anomalies and recurrence rates. Cleft Palate J. 1979 Apr;16(2):193–197.
Levin JS. The role of the black church in community medicine. J Natl Med Assoc. 1984 May;76(5):477–483.
Snow LF. Folk medical beliefs and their implications for care of patients. A review bases on studies among black Americans. Ann Intern Med. 1974 Jul;81(1):82–96.
Lyles MR, Carter JH. Myths and strengths of the black family: a historical and sociological contribution to family therapy. J Natl Med Assoc. 1982 Nov;74(11):1119–1123.
I remember stating somewhere that I’m not a football/soccer fan but it seems like the tide towards 2010 is sweeping me along.
After a tedious day at work, and tired of watching commercials every 10 minutes, I switched to the sport channel just in time for the 2nd half of the match… I don’t have much to say about the 2-0 win for RSA but I am perplexed by Santanas (the RSA coach I presume) reaction towards the end… who was he so angry at? the guy who had 4 shots (he looked exausted if you ask me… what was his name again…Mas???)…
This wasn’t Rugby where the two teams are known to be as tough as buffalo hides… but I did learn a lot… it’s all about hanging on to the last second… and the NZealander getting a yellow card at what minute…to pave way for a free kick in the last 2 seconds… felt like a bad joke… surely this is just a game…or is it?
Masika yamepita,
Mawazo hayajaisha,
Hata macho nikiyafumba…
Bado nakutazama,
Hata kichwa vipi nikilikuna…
Bado nakuwaza,
U mawazoni n.m.
Listening to Luther Vandross : Dance with my Father.
The air was thick with anticipation,
The feast was rumored to be…
The largest,
The grandest,
The most lavish to be hosted by an individual,
Oh, Yes!
You did get the tongues wagging all right…
You thanked your brothers and sisters,
Your kinsmen from near and yonder…
And thus you bid them farewell,
With a haste that did not sit too well…
“You’ve all eaten to your fill,
What remains are the rests for the vultures…
And the bones for the hyenas to gnaw on.”
Yes, the feast is worth a mention…
But it was over long before it started!
It was over the moment you stepped in,
To stop the fight between your two whores…
One with make-up so thick…
T’was hard to discern her true shade,
The other with a skirt so short…
All the cellulite thrown into the face of the world!
No, I’m not sneering at the thought of these two beauties…
Fighting over you much to your pride,
But rather at the way you tried to save face…
Tried to show who the man was… yet all around you,
Your age-mates hung their heads in shame…
The shame of a battle long lost,
By the man they claimed to be a brother,
Put in his place by women he’d never take to his mother.
You put all your energy into making the feast
The largest,
The grandest,
The most lavish…
That was bound to be the talk of the village for days to come…
But when it came to your lovebirds,
Your energy was sapped…
Your manhood snapped…
You leaned limply on a weak tree,
Wriggling in discomfort…
Like a boy whose feet are infested with jiggers…
Resembling a baby who finds unpleasantness…
From sitting in a soiled diaper.
Let the vultures carry what is left of the feast…
And have a feast of their own,
Let the hyenas crunch the bones…
Left behind by those who now, you scorn.
Yes, the feast has ended
But elsewhere, the feast has just began.
Niliamua kuitika mwito wa Bomseh na kuwafunulia kidogo maisha ya Serina. Nawashukuru kwa maoni yenu na nim’amua kuendeleza kidogo tu!
Kwa kunitembelea hapa nawaona kama ndugu zangu na pia naamini duniani hakuna siri, ingawa sote twapenda kujistiri kwa kuyafunga midomo yetu.
Wachache wenu m’meandika kuhusu hotuba zinazotolewa kwenye matanga, yangu sitaki iwe mistari inayosimua historia yangu… kaenda shule sijui wapi, alipenda ushairi, amewaacha wanaume kadhaa na watoto kadhaa…. la hasha, sitaki. Sitaki hotuba ya aina yoyote… Maisha yangu na kazi zangu nataka zijizungumuzie.
Nimefurahia kujua kuwa kati yenu kuna wanaume wasioogopa kuingia jikoni na pia kusaidia katika shughuli nyumbani. Kama mwanamke, binti, mama, dada … nawashukuru kwa hilo maana wanawake tumezoea kuvumilia mengi maana hatutaki kuonekana wavivu. Na ninaomba tafadhali muwasaidie wenzenu na shughuli nyumbani hata kama mnawalipa, kazi ya nyumba huwa haiishi na hata akina yaya, boi, ‘robot’ na waajiriwa wengine wote ni binadamu, na huchoka. Uliza mwafrika aliyeishi ughaibuni na hana starehe za wafanyikazi nyumbani…
Tuendelee na swala la “Polyamory” … sijui tafsiri yake kwa kiswahili ni ipi … waswahili mpo?
Huwa na keti na kuwaza sana kuhusu mila na desturi zinazopatikana kotekote duniani. Hili wazo la ‘Polyamory’ lilijitokeza baada ya kutazama filamu moja ya kimaasai, shughuli za kuchoma mkuki mlangoni, na pia kwa kusikia visa vya kina mama na mazubeda maishani mwao… mwamkumbuka Zubeda?
Sidhani kuna chochote kibaya na uhusiano wa wazi kati ya watu wazima ilmradi wajikinge kutokana na magonjwa ya zinaa na pia waweke wivu kuleeee mpakani kule. Mwenzangu kwa mfano akitaka kuwa na mke wa pili, bora awe na sababu halisi, siwezi mkataza… amini usiamini! Naamini ya kuwa ” there is always enough love to go around ” … au? Labda nilisheruka kichwa na sijajitambua
Kaka Bwaya naye aliulizia ‘profile ya a good frog‘ . Kwanza neno frog nililitumia sio kutokana na umbo la chura bali nilikumbuka hadithi ya ‘The princess and the frog’ na pia filamu ya Shrek. Huwa natazama sana filamu za watoto (mazoea).
Kabla sijaandika kuhusu chura wangu, ningependa kuwakumbusha ya kuwa Penzi halilazimishwi ni mtu kwa mtu wake au Marazz alivyojibu, kila jini na mbuyu wake.
Mwenzangu tumefahamiana mda mrefu. Tulikutana hukuhuku nilipo sasa lakini njia zetu zikaenda panda. Alirudi nyumbani Afrika nami nilibaki huku. Hatukujua kuwa pepo zingeturusha pamoja tena.
Ni mtu mwenye upendo sana na mvumilivu kupita kiasi. Mcheshi. Hanioni tu kama mwenzake lakini pia kama mtu binafsi. Kama Serina.
Kuna vitu vingi ninavyoona anapozungumuza na watu wa kila aina, mimi, marafiki na hata familia. Ana heshima. Mkarimu. Mungwana kweli… Hana kiburi… ningependa kuendelea lakini machozi yananilenga machoni…
Weekendi njema!
Thanks a heap Bomseh for this toturous exercise… what more could a woman wish for? It is an honour to be requested to share what makes me tick with all of you… I do count somewhere on this planet after all
Before you read this, some of the information may be a deemed as inappropriate but hey, I was asked for honesty.

I wanted to make it something poetic but that has already been done here . But all in all, maybe there are a couple of things or more people would be shocked to learn about me… not that that’s what I’d put here. Ok, now that I’m obliged to comply…
The Catch
You must brag about the award
You must include the name of the blogger who bestowed the award on you and link back to the blogger
You must choose a minimum of seven (7) blogs that you find brilliant in content or design.
Show their names and links and leave a comment informing them that they were prized with Honest Weblog.
List at least ten (10) honest things about yourself. Then pass it on with the instructions
One honest thing before I start, I never pass on chain letters, nor read them… but this was FUN.
1. Househelp
I work just as hard around my home as I do when visiting home. I cannot tolerate people who give the househelps a to do list by the minute. ” Auntie, hebu njoo nikutume dukani…kisha pitia dhobi uniletee nguo zangu…kabla hujaondoka, watoto wako wapi? wamekula? Sawa, kimbia urudi kisha upanguze ukuta kabla wageni hawajafika…..blah,blah,blah” How these wonderful women stick to their jobs I wonder. All the househelps I’ve come across think I’m crazy when I chip in and do some work while all the other mamas just sit and piga mdomo…kwani one can’t talk while working…and we wonder why the hubbies stray…ahem.
2. Maisha na soko
I love going to open air markets wherever in the world regardless of hali ya hewa. In nairobi, I’m addicted to Gikomba and Marikiti markets… just the thrill of watching masses move and the mkokoteni guys who never fail to test my agility. City market bores me but what fascinates me up to date is that no matter how shoddily I dress, the guys always run towards me saing ” Sista, CHANGE, DOLLARS” …how do they sniff me out?
I also remember when I was expecting my daughter, I’d get this craving for properly fermented Uji from mama kibuyu… not this supermarket ready concotions but proper Uji fermented with patience….the only place I realized I could get some of this without slaving in the kitchen was at Gikomba and the fishmongers there that entertained me with their stories in between serving their customers while i sipped my uji in the most comfy chair cuishoned specially for me by them… yes, there are kind souls even in eastlands…became my friends to date.
3. Asti moments
Anybody who has been through my FB profile will tell you exactly how many Asti moments I write about. Naongea kuhusu Cinzano Asti. This is the one drink I’ve come to enjoy and drink ocassionaly at my own pleasure and leisure. But one thing Asti does to me is that it makes me so mellow that all I want to do is dance on the table. So if any of you desires a table dance…just show up with a bottle of Asti…LOL.
4.Homepubs
I’m not a very social human being as may have been marked by how many blogs I frequently visit but never leave comments and neither am I a guzzler, but I do love a cold Pili now and then when at home and in good company. The home pub or Grocery inavyojulikana nchi jirani always offers an interesting place to catch up on whats going on and who’s been up to what when one has been away for a while. I’m always there with my favourite sister and some of our childhood pals. We have left clubbing to the yo-yo’s of these days and it isn’t funny bumping into your nephews and nieces when gyrating to zilizopendwa. The only place they dare not step till they are 30+ is the home pub. The blogging world is a lot like my local-pub I should say. It’s enough kuketi na kusoma.
5. Research
This will be the death of me. I have always been a curious soul and love to find solutions. My latest Hypothesis is that the world won’t end if I call it quits with books. There are times it gets so frustrating that I think I’d be happier being a housewife since I work just as hard at home as any househelp I have ever met anyway…. so why am I toturing myself trying to do it all? This calls for meditation… kwa hivyo nikipotea hapa sana…msishangae.
6. Polyamory
This ONLY happens a lot in my dreams. Lakini si mwajua…ndoto ni ndoto…. Maybe I should have been born in the days of Solomon.
7. Of the Stars and men
Intrestingly enough, I have only been in long term relationships with Tauruses and Leos… so there are times like now when I get Birthday reminders every other day. Not that I totally believe in stars lakini vitu vingine there’s is no other way of explaining them. Being a cardinal Water sign, I’m supposed to cope well with the bull … but that is what a bull is… a BULL. On the other hand, a relationship with a leo requires a lot of balance, they will either dehydrate me (being a fire sign) or I’ll drench them out…hehe… I’ve perfected the balance and we just simmer… which beats being lukewarm any day hands down. And as you know with the Simba, anavyozidi kuzeeka, ndivyo ujuzi wake wa kunguruma na kuuma huzidi…jijazie.
8. Make and spend.
I find it hard to be a miser/freeloader. I spend to satisfy my whims and those of my near and dear if I can afford it and they are not freeloading on me… I know these are the people who’ll spread my ashes or carry my geneza when I die if I do die before them, and probably shed a tear or two while at it. I have no qualms whatsoever with people spending their money as they wish but a pennypinching man has never made it to my good books. I get put off by men who can brag about all their assets and yet put their families on stringent daily budgets… just to squander the spoils on whatever it is they do outside the house.
9. Men in the kitchen
I have had the priviledge of being cooked for by men without the expectation of getting kitu kidogo afterwards and this to me is one of the best ways to get my attention. It proves that the men would go out of their way to make me comfortable and it was more flattering than getting a diamond studded necklace that you would only wear once a year. Talk of instant gratification.
10. the love of my life
… that’s an entire new story… i’ve had to go through many frogs to get this one…and just like in Shrek, if he is really a frog, he’s a good one.
There are many of you who write splendid content on your blogs and it is my duty to give you your 15 seconds of fame…hehe… najua wengine wenu mliandika mda uliopita lakini binadamu hubadilika na wakati kwa hivyo raundi ya pili tafadhali.
Marvin Tumbo (even after your exams…)
Naamka na tabasamu,
Maana najua wewe ni wangu,
Hisia zinazonipitia kwangu,
Furaha tupu, mwenzangu!
Napendelea unavyonipapasa…
Kwa maneno zilizo na ladha,
Natikirinywa na lako tabasamu…
Ujuzi ushaigundua wa kunipa hamu,
Na kumbatio lako mwenzangu…
Humtuliza shetani wa kiume wangu!
Huyu shetani wangu wa kiume…
Amejua nani ndie mme,
Keshawafukuza wengi nakwambia …
Kila umbo kutoka kila daraja,
Maskini, tajiri, vijana , wazee,
Warefu, wafupi, weusi na weupe,
Lakini sasa naamka na tabasamu…
Na sio maneno tu hunifanya,
Nikalala na tabasamu…
Umeniweza!
Tembea, tembea usichoke…
Tembea uone dunia,
Uyaone ya ulimwengu
Tembea ufuate riziki,
Tembea ukawaone marafiki,
Tembe, tembea…
utafute pesa,
utafute mali,
utafute amani,
utafute penzi,
utafute unachotaka kutafuta.
uridishe moyo wako…
hujafungwa pingu,
hujakalishwa kitako…
Tembea, tembea…
Tembea uende shughulini,
mapato lazima siku hizi,
Nenda sokoni, dukani,
zilizobaki pitishia
‘grocery’ na kisha nyumbani
Tembea, tembea…
Kiguu na njia…
Tembea na nia.
I hardly watch football due to my demanding schedule, or any other sport for that matter… but I do read… a lot. I have been thinking of what would motivate me to support something like football but all that lingers in my mind now is Côte d’Ivoires ‘Black Sunday’(even if they went ahead and won 5-0 (which left a really bad taste in my mouth by the way!))
19 innocent lives lost. Sudden and fast.
The match between Côte d’Ivoire and Malawi was probably one of the most well attended… but in the hype to cheer their teams, a stampede…teargas…the rest is history…
FIFA and the Ivorian government say they are investigating who’s responsible… what will that help I wonder??? The dead are DEAD and the injured are injured… what compensation can they get… if any and what will be done to the persons/organization deemed responsible?
A look at some other matches in the history of African football.
2008: 8 people died in Monrovia (Liberia vs. Gambia)
2001: 126 football supporters died in Accra as well as 43 people at Ellis park, Johannesburg.
2010 ???
Stay safe all you football supporters!
Ni nani aliyejua,tabiri nyota utakwenda peponi/ahera?
angali mchanga,ukafundwa
ukatosheka,ukaishi.
Walikudharau ewe nyota
wakasahau uchangia mwanga palipo na kiza
walikuona mlalahoi.wima
kama mtaa wa mchamba wima.
Hukusikiliza ya wapitao
hukujali ya wapitao
hukunun’gunika kama wapitao
ewe nyota ulikunjwa na kufundwa.
Ukajisahau kutoa mfano mzuri kwa wadogozo
wapitao tena wanakuita zozo
licha ya kuwa nyota.
Wadudu hao umewavaa
wadudu hao wamekuvaa
na sasa wagagaa
chali wajiburazaa.
Dakika za lala salama
ukakumbuka shuka
wenzio kumekucha
wewe wakumbuka shuka,wakati
kichwa kilishazama.
Sikusemi nyota,bali nakukumbuka nyota
kila kiza kiingiapo ‘n’ takukumbuka nyota
nakupenda nyota
wasalimu huku uliko,wafundishe yale tulopende utufunze
nami nifundwe.
Luihamu 2009
Wataka uwajue wenzio,
Nafsi zao kwako kizio,
Kujivumbua waweka uzio,
Kutwa hukosi kisingizio,
Nkuulize, wajijua?
Ujue, ujuavyo vi uzio,
Vyauzuia utambuzio,
Swahiba acha masingizio,
Eti makosa ya mzazio?
Hei, acha maigizio…
Hujui kianzio?
Kianzio cha uvumbuzio?
Sikia, si mzazio,
Siye ‘alo mpenzio,
Ngojea nkunong’oneze…
Kujivumbua mwenyewe, angazio
Nafsiyo kuibaini kielezio!
Hujanielewa?
Wacha swahiba nkuulize…
Dini, wako mtangulizi,
Kakujalia wa kweli ukombozi?
Nambie?
Labda i sayansi wako mpenzi,
Najua, sayansi i chunguzi,
Sayansi i gunduzi,
Je, imekuletea uchunguzi?
Ishakuchunguzia nafsi?
Nambie?
Ama ni utamaduni wa kibeuzi?
Hivi utamaduni ni yako ngazi?
Ni hizi mila banizi?
Je, zimekuvumbuzia nafsi?
Nambie?
Swahiba ‘nnapunguza usingizi
Bwaya 2009
Kuzima koleo si mwisho wa uhunzi.
shu”k”rani.
ni bahati kuwa hapa mbele yenu
sina mengi ya kuwaeleza
bali nitajitahidi kutoa shu’k'rani zangu kwenu.
upande huu
upande mwingine au ule
mwaliko nimeupokea kama mwali
alijaa hamu ya harusi.
asante kwa kunikaribisha
asante kwa wasomaji
maji yanayotiririka pasipo mkingaji.
naamini tutakuwa pamoja
mmoja wenu katika tenzi
zilizojaa kila aina ya tabia ya kiumbe potofu
kilichojaa kila aina ya mabaya na mazuri.
amani.
Luihamu Ringo 2009
Penye wengi, pana mengi…
Penye mengi, pana semi…
Nyoka huzaa nyoka hujafahamu?
Ulivyonilazia maneno bila tabasamu…
mchezea zuri, baya humfika au?
Jino la pembe si dawa ya pengo…
Jaza pengo!
Mashairi yamerudishwa uwanjani.
Kisa na maana, kuna wale wanaotaka kuchangia maoni, majadiliano… na kuna wale hawana uwezo wa kuzipata kupitia Lulu… umeme unakatikakatika, sina visa kadi n.k…
Na kuna wale wamezoea tu vya bure (ubwete umezidi)
.
Msihangaike… someni, mjifunze na kufurahia. Lakini msisahau kuheshimu haki zangu kama mwandishi!
Weekendi njema. serina.
Wanipa kinyongo, bila kujua…
Jinsi unavyozungumuza nami, bila kufafanua…
Wanitusi kila tusi, bila kugundua.
Wanipa kinyongo, waweza dhani nina mimba…
Kwa kuyasagasaga maneno, wanipeleka kwenye dimba…
Bila huruma wanipara, kutamka nimeshindwa.
Wanipa kinyongo we! Nishakata tamaa…
Wakati bado wanichimba, utan’ombaje msamaha?
Kigeugeu kama kinyonga, kwangu huna manufaa…
Ondoka nitapike… kinyongo kiniondoke!
It’s been a long time coming
But finally the day has dawned
When we have put the past behind us
And look expectantly into the future
Thank you for putting
The glitter in my eye
The smile on my face
and for the gift of peace
you’ve brought to my tormented soul.
Thanks for being yourself
and for being so strong
when storms raged.
Shughuli hapa na pale zaniita…
Kuzitimiza bila malalamiko desturi,
Ulegevu huu umetoka wapi?
Maungo kwa machofu nimevunjika,
kama mganga anayepunga pepo kilingeni…
Mwisho wa simba umeletwa na nzi!
.
Hapa nasema, pale nakimya…
Jogoo la shamba haliwiki mjini…
Ongeza kasi, jua latua…
Huu ni uvivu wa kike au ni balaa?
Maliza ya leo, leo… ya kesho mageni
Hivi kumbuka walipwa masaa
Lakini tena…
Sheria hazitii wasiwasi aliyetosheka!
Nimetosheka.
Kama kawaida
Walalamika na kulalamika
Kuwa hupati dakika
Na huna uhakika
Kama na ridhika
Kama kawaida
Siwezi bishana
Mapumziko lazima
Mwili umechoka
Kwa mda naondoka
Re-connections made on facebook are always fun. It’s like a trip down memory lane. Made contact with three people from my past this week. Two are old primary school classmates, and one is a guy I dated a while back. Read the rest of this entry »
Kwa mwaliko wa Sandra Mushi:
Event: Maneno Mengi
“One night only”
What: Recital
Host: Goethe Institut
Start Time: Thursday, March 12 at 7:00pm
End Time: Thursday, March 12 at 10:00pm
Where: Goethe Gardens, Goethe Institut Read the rest of this entry »
Wajua kuna wengi ambao wanajiuliza kuhusu uhusiano wangu na mradi wa Blogging Positively. Ukitaka kujionea, njoo kwenye mazungumuzo saa kumi na moja jioni saa za afrika mashariki, tutaendelea na mazungumuzo kama kawaida (Kwa kiingereza). Kwa maelezo zaidi, soma hapa. Nyote mwakaribishwa. serina.
As sent out by Janet Feldman:
This note is a reminder of the next Blogging Positively chat, intended as an ongoing discussion about blogging to address HIV/AIDS.
The first is scheduled for February 27th at the following times: 9 a.m. New York, 2 p.m. London, 5 p.m. Nairobi. This chat will build on the insights shared during the highly successful World AIDS Day chat, held on December 3, 2008. Below this note see questions that emerged from that chat.
The second chat, which will include reps from Rising Voices and Global Voices, will be on March 6, at the same place and time.
The chat will be held at www.worknets. org/chat. There may be several chatrooms available for different languages. Login using your name and elect the room you want to join by clicking “enter.” Once in the room, Read the rest of this entry »
Ike ameshindwa na la kufanya. Hivi majuzi tulipokuwa kule Nefertiti, kanielezea ya kuwa kapatwa na mambo. Kuna msichana mmoja toka Msumbiji anadai ya kuwa Ike kampa mimba. Nikamwuliza Ike, kwanini wasema eti anadai, kwani hukumpa? Ike akajibu eti msichana mwenyewe hata hamkumbuki maanake ilikuwa ‘one night stand’ mwezi wa Oktoba.
Msichana mwenyewe hakulijua jina lake Read the rest of this entry »
Dysfunctional: deviating from the norms of social behaviour in a way regarded as bad (thats the definition from my thesaurus).
Was just talking to my favourite sister, yes, I do have a favourite though I love all my siblings ‘equally’ and we were discussing how disfunctional families can be.
Most people on the outside may think that all other families work like clockwork but I think that at some point or the other, living together is bound to create friction. It may be just a dose or it may be a sackful but friction is good. It’s out of friction that boundaries are marked … this makes me think of a wolf pack and how each has to fight to get it’s place in society. This can easily be compared to rivalry between people of the same family, each one trying to prove that they are worth carrying the family name… and if not, some even may detach themselves from the family name if the family isn’t deemed fit enough for the individual. And you may wonder why the black sheep of the family protects their territory so. It’s all about mind games. Sigmund Freud. Simple but yet complex. Very complex.
This gets even more complicated when you apply it to a larger scale. The definition which says ‘ deviating from the norms’ can make one wonder what is the norm? Is the norm of this world competing with the Georges? The norm is more often than not the ground rules set by the immediate society one happens to find themselves in. It made me think of how in the 80’s, putting on a pair of slacks was almost a no, no, when travelling upcountry to visit my grandparents and yet my own parents had abums full of pictures where mini skirts and bell bottoms were splashed on every page. That was the norm then, this is the norm now. Do as we say, not as we do/did. Learn from my mistakes… that’s the one that gets on my nerves quiet a lot… your mistakes were/are yours and mine are mine…boundaries…personal space…territory…hallooo! Not that I don’t learn from the mistakes others make but someone (other than my parents and close aquaintances) actually having the nerves to tell me something like that without me having solicited their opinion/advice just makes my skin crawl.
Anyway, back to earth. Earthlings/people are not really that different from most other primates (read creatures) on this planet if I may say so. Other than the fact that we worry too much about everything else that has some form of existence on this planet (disclaimer: not that there is any research depicting this or otherwise) we are a pretty much dysfunctional lot in each others eyes. War here and there over every topic under the moon no matter how trivial, famine caused by our own negligence, fighting for rights which we didn’t even discover, this list could be as long or short as you wish…but to find our places on this earth, there has to be some friction and we are all in it… not that it has anything to do with the term ‘norm’ to do!
We talk a great deal my sister and I. That’s what keeps us functional in this dysfunctional world.
Yaani mambo ya kufuatilia miradi mingi zimefanya nikachanganyikiwa kichwa haswa. Sio utani.
Nilipata mwaliko miezi sijui mingapi iliyopita kushuhudia sherekeo la toleo ya vitabu kuhusu lugha kadhaa za Tanzania zisizojulikana sana …lakini nikasahau hadi juzi nilipoona wametangaza rasmi.
Nimefurahia kuona kuwa siku hizi watafiti wanashirikiana zaidi na sio tu mgeni kutoka nje anayepewa kibali na kufanya atakavyo. Mradi huu ulikuwa shirikisho katikati ya Chuo Kikuu cha Dar-es-Salaam (UDSM) na Chuo Kikuu cha Göteborg (GU) tangu mwaka wa 2001 hadi mwaka jana (fedha za kuiendesha kutoka SIDA).
Bonyeza hapa usome waliyoandika kuhusu lugha hizo za Tanzania.
Kitabu: Mpe Maneno yake
Mwandishi: Freddy Macha
Mwaka: 2006
ISBN: 9987 411 32 0
———————————————————————————
Napenda kusoma.
Juzi kwenye safari yangu Uingereza, nilikutana na Freddy Macha. Freddy, sifa zake na ujuzi wake wote siwezi andika hapa kwa hivyo ukitaka kujua zaidi kumhusu na kazi yake, bonyeza hapa, na hapa, na hapa.
Mpe Maneno Yake ni mkusanyiko wa visa kilichoandikwa na Freddy Macha. Nimekisoma na kweli ni kwamba mimi huchoshwa na vitabu vingi vya kiswahili, kutokana na ukosefu wa lugha ninayoweza elewa bila matumizi ya kamusi hapa na pale, lakini Freddy kuandika kwake ametumia lugha ya kila siku na kitabu hiki sikutaka kukiweka chini. Read the rest of this entry »
This is a first for me…commenting on an article I have read on the net…and considering the interesting things I read daily….in between looking for the latest research articles which I do on a weekly basis…I should have started doing this kind of thing ages ago…think the reason why newspapers sell… It pays to be inquisitive or as Albert Einstein is quoted as having said “Curiosity has its own reason for existence” or something like that. Read the rest of this entry »

Idadi ya watu wanaoishi na UKIMWI imeongezeka na wanaokufa kutokana na ugonjwa huo wala hawapungui.
Global Voices Online na Rising Voices wakiungana na wahusika wengine wataendelea na mazungumuzo ya “Blogging Positively” kuyajadili maswala haya ya UKIMWI.
Waathiriwa, walezi, wanablogu, wauguzi na hata wapita njia… nyote mwakaribishwa kwenye mazungumuzo tarehe 27 mwezi huu. Bonyeza hapa kusoma maelezo zaidi kuhusu jinsi ya kujiunga na mazungumuzo hayo.
Nimpenda’e hajajua
Ya kuwa nampenda
Lakini nampenda.
Manukato yake sijanusia
Macho yake sijayatazama
Mkono wake sijaushika
Haj’nikumbatia
na wala
Kifua chake sijakilalia
Lakini nampenda.
Sijui yuko wapi
Anachofanya sasa
au
Alichokifanya jana
Lakini nampenda.
Nimpenda’e sijamuona
kwa hivyo
Ukikutana naye
Mwambie nampenda.
Tarehe 14 mwezi huu ni siku ya wapendanao ulimwenguni. Fundisha mtu umpendaye kublogu. Mwenyewe nishaapa kulitimiza shughuli hilo.
Bonyeza hapa kwa maelezo zaidi.

Image: GVO
Just took this quiz for the fun of it but the results have gotten me thinking about what I really believe or rather not believe in. I’m a STRADDLER apparently
… interesting to see that my ’spiritual life’ matches my ‘real life’ indecisive, happy go lucky…very funny!
You scored 54, on a scale of 25 to 100. Here’s how to interpret your score:
25 – 29
Hardcore Skeptic — but interested or you wouldn’t be here!
30 – 39
Spiritual Dabbler — Open to spiritual matters but far from impressed
40 – 49
Active Spiritual Seeker — Spiritual but turned off by organized religion
50 – 59
Spiritual Straddler — One foot in traditional religion, one foot in free-form spirituality
60 – 69
Old-fashioned Seeker — Happy with my religion but searching for the right expression of it
70 – 79
Questioning Believer –You have doubts about the particulars but not the Big Stuff
80 – 89
Confident Believer –You have little doubt you’ve found the right path
90 – 100
Candidate for Clergy
Just wonder what some people I know would score on this one… whatever your score, take it with a spoonful of salt.
Take the quiz Here or find out what religion suits you HERE.
Don’t forget to read the disclaimer on this site…they are not responsible for your soul!!!!
Leo mwaka mzima tangu nimwone Baba akiwa hai. Nimemfikiria sana siku hizi chache zilizopita, sio kuwa sim’wazi kila siku lakini nilikuwa nakumbuka jinsi tulivyosherehekea siku ya kuzaliwa ya mama mwaka jana. Alikuwa hajihisi vizuri kutokana na matibabu ya ‘chemotherapy na radiotherapy’ lakini siku hiyo alijikaza na kuweka tabasamu na kuketi nasi sebuleni.
Baba aliugua lakini hakuwa mtu wa kulalamika ovyo ovyo.
Nakumbuka nilipoanza kublogu kwenye blogu yangu ya kwanza kule kwenye blogger (The other side), hata kabla mashairi, Read the rest of this entry »
Before subjecting myself to the toture and entertainment that is Melodi Festival (Swedish search for the Eurovision Song Contest representative) which runs for 6 good weeks, thought I’d just share some old classics that I seem to be humming along quiet often…too much iPod influence!
Listening to … mostly 90’s…and why Read the rest of this entry »
One lie
is just as
forgiveable
as
a string
of them.
Ten mistakes
can as easily
be overlooked
as one or two
A minute late
or an hour late
Bottom line is
you are late
and
the attention
has
shifted
TO…
A lover here
and
a lover there
same difference
it’s pure love
there’s enough
to go around
BUT…
a squibble now
a quarrel then
is enough
for one
to hit
the ground
a moment here
stolen
or deserved
is probably
MORE
than
aphrodisiac.
A smile
devious
impish
seductive
enchanting
secretive
I’m smiling
and
only I
know why.
sina mengi yakusema,
ingawa mwataka niseme…
sina mengi ya kunena,
ingawa nina maneno…
sina haja ya kutenda,
wala kutendwa…
sina haja ya kuuliza,
nisipopata jibu…
sina haja ya kuulizwa,
wakati nami jibu silijui!
niache niwe,
sina ugomvi nawe.
Naguswa sana na maswala ya afya na n’namatumaini kuwa nitaandika zaidi kuhusu maswala haya. Kwa mfano hivi sasa nimeanza mazoezi ya Pilates. Ukitaka kujua yanavyonipeleka fuatilia huku.
Macho nilipoyafumba
Niliyaona ya dunia
Niliyoyapitia
Na mengine mengi
Singelipenda kupitia
Nikageuka
Nikazinduka!
Nikaamka
Jasho jembamba
Likawa limenifunika
Uwoga…
Ndio, uwoga.
Macho nikayafumba tena
Nikajaribu kuyasukuma nyuma
Mawazo
Ndoto
Hofu
Nikafanikiwa kwa mda
Mabaya nikaweza yasukuma
Na kuyafikiria mazuri tu
Lakini usingizi ukaniepuka
Uwoga…
Ndio, uwoga.
Kesho yake nikakuona
Ikabidi nikate kona
Kikundini ukajitokeza
Nikabonyeza
Taa
Nikalizima
Sikutaka unione
Nikapenya
Na
Kutoroka
Hukuniona
Uwoga…
Ndio uwoga.
Kuna vitu vingi naamini na leo nitataja viwili;
Kwanza ni kuwa, hakuna bin’adamu asiye na akili.
Kila mtu aliye na ubongo kichwani mwake lazima awe na akili…hata kama hana ubongo wote au ana matatizo ya kiafya yanayosababisha awekwe kwenye kikundii maalum. Lakini mbona bin’adamu hatutumii akili kwa njia iliyo sawa? Haswa kwa enzi hii ya technologia na maendeleo.
Kwa mfano, hivi Kenya wabunge wamekataa kulipa ushuru, wanalishwa na raia lakini hivi sasa wakati wa ukamwe, hawawezi nao jitokeza na kuwalisha waliowateua!!! Sijapata kusoma kuhusu hata mbunge mmoja ambaye amewasaidia wateuzi wake wakati huu wa kiangazi… nasikitika sana tena sana! na sina imani kwa viongozi wetu kamwe!
Swala la kwanza linatupeleka kwa la pili; Naamini ya kuwa hakuna bin’adamu aliye kamili.
Mimi na wewe sote bin’adamu. Tulizaliwa na bin’adamu na tukifa tutazikwa au kuchomwa au kuagwa kwa njia zinginezo na bin’adamu wenzetu. Hivi mbona kuna wengine wanapenda kujiona bora kuliko wenziwao? Hivi ukimwona chokora wajihisi vipi? Hivi ukimwona mtu amelemewa na maisha, wamsaidia au waendelea na maisha yako? Kila mtu na mzigo wake au?
Hivi maswali yangu leo mengi sana lakini kiini cha kuandika ni kuwa nataka tujikumbushe kiina cha kuwa mtu…yani utu.
Bado likizo sijaenda!
Niko kwa Malkia Elizabeti wa pili …
kazi nayo ni kama haina mwisho…
kama samaki aliye kwenye aquarium…
naogelea na kuogelea lakini sifiki !
But I swallow the questions,
They burn inside me
Like a bee
That has gone into the ear;
And my eyes redden
With frustation
And I tremble
With anger.
Extract from; Song of Lawino and Song of Ocol by Okot p’Bitek
Katika harakati za kuandika mwongozo wa ‘Blogging Positively’ , tunahitaji usaidizi wa watu wanaoishi na ukimwi au ni walezi wa watu wanaoishi na ukimwi kuunda mwongozo huu.
Tafadhali jiandikishe na kikundi cha Rising Voices Positively (Kinachoshughulikia swala hili)kwenye google groups na pia kikundi cha ActALIVE kwenye yahoo groups kinachoongozwa na Janet Feldman.
Waweza pia pitia hapa uone wengine wanaoandika kuhusu maisha yao na swala hili muhimu kwenye mashup inayoundwa na Juhie Bhatia pamoja na Solana Lärsen.
Usione umelenga ukadhani eti umefuma.
Ul’sibu mwangu maishani…
Kama jasiri mwindaji
Ul’nonjesha cha kinywa asali
Hadi n’katoka pangoni
Wataka kutoa mahari
Watume wa kwenu nyumbani
Na’am wangu nim’kubali.
Makao yetu wataka tuhaulishe…
Wazo hili kidogo lanitisha
Sijui kama ni kweli suluhisho
Wauliza kama niko tayari
Kwa mababu zetu turudi
Itabidi kwa nguvu tujitahidi
Na’am wangu nim’kubali.
Sako kwa bako tutakuwa…
Chanda na pete hadi kufa
Sio jambo la kuhofia n’najua
Ingawa sote wawili tu waoga
Maisha ni sasa sio kesho
Tustaladhi menzangu kwa ya leo
Tujenge msingi tuutakao
Na’am wangu nim’kubali.
Wajua kun’tafiri na kun’tafsiri…
Ujuzi huo kuupata sio rahisi
Raghba nil’yonayo wala n’nayohisi
Shairi hili kusema yote hal’wezi
N’nachokupendea wajua nadhani
Ingawa maneno hayo hayan’toki kwa urahisi
Wangu wa moyoni, wangu penzi
Na’am nakupenda.
I hear it in your voice…
In the way you talk about her
without really talking about her
and I smile’ coz I’m happy
that you’re happy
I see it in your eyes…
No matter how hectic
your day has been
they glisten when you think of her
the treasure you have long searched for
You have fallen deeply
And don’t try wriggling out this time around
‘coz you’ve fallen into an abyss of love
And being the man I know you are
Your vows hold,
so keep your treasure in your trove
and for every day with her thank God
Congratulations!
Mwataka amani, bila risasi…
mwapewa nafasi, mwatengeneza bunduki…
aliye na akili, biashara hii haimpiti
aliye jasiri, hatishiki kirahisi
aliye na kasi, huepuka risasi
asiye na mali, ni Mola humwamini
asiye na kazi, masaa hayampiti
asiye na jirani, ya ulimwengu ni ubishi
shida mipakani, kutokana na chuki
shida kilabuni, kutokana na riziki
shida ubungeni, kutokana na mvi
Mwataka amani, bila risasi
Mwapewa nafasi, mwatengeneza bunduki
Bila risasi, hakuna amani?
Nipe nami bunduki!
I like it like this….
And you should know…
You satisfy my soul…
Na kadhalika kutoka Bob Marley
=)
Namlilia Zubeda mwajua…
Nafasi ya Malkia alichukua!
Namlilia kwa kuwa…
Hataki kujua, hataki kuambiwa…
Hataki kuyasikia,
Yaliyompata Malkia.
Nawalilia akina mama…
Binti na hata kina dada,
Kwa kudanganyika,
Hadi wakaangamia.
Nawalilia nanyi wanaume…
Mnaowapoteza kwa wengine waume.
Nawalilia kwa kuwa…
Nanyi siki hizi kionjo mwapata,
Nanyi siku hizi mwacharazwa…
Nalilia nchi yangu…
Nawalilia binadamu wenzangu.
Nalilia amani ndugu zangu,
Upendo nyumbani nalilia.
Namlilia Malkia…
Kila kunapokucha…
Nayafungua macho yangu
Yaliyojaa usingizi
Jicho moja likifuatwa na lingine
Na kustaajabu
kwa kuwa
vitukio vya jana
havikunitoa uhai.
Kila siku…
N’na matumaini mapya
Nguvu yanijaa mwili
Mwendo wangu waongezeka kasi
Ninaposhughulika
Kuijenga (au kuibomoa?) nchi
au tusema
N’napofuata kiito changu ulimwenguni…
N’nastaajabu ya kuwa
N’na nguvu ya kukimbia mbele na nyuma
Wakati nilichotaka asubuhi
Ni kujifunika gubigubi
Niyasahau ya ulimwengu…
Siku nenda, siku rudi
mchezo upi huu?
My bags were already packed,
Looking foward to spending my hols…
with you and Mama.
But Alas! tis not to be,
You’ve left for somewhere…
I can only dream of.
I bid thee farewell Dad…
And find comfort,
in your words of wisdom…
Your strength, your courage,
and the Love you showered on us.
Penzi halilazimishwi, ni mtu kwa mtu wake.
Nina masaibu…
Sina amani ndugu…
Kichwa chaniuma,
Lakini moyo wangu zaidi wauma.
Ni wapi nitatua mzigo wangu?
Mzigo niliorundikiwa na wengine…
Kwa kutoweza kubeba wao…
Ni kama kaa moto…
Halishikiki mkononi.
Ni lini nitapata amani?
Wakati nimezingirwa na vita..
Ni nani atakaye nibembeleza ninapolia…
Kutokana na ugumu wa dunia?
Machozi yatiririka…
Na kuwacha mitaro yasiofutika.
Hili simulizi langu.
Hili labda simulizi lako?
Hili simulizi la wengi…
Vijana na wazee…
na wote walio kati kama mie.
Kichwa chaniuma…
kutokana na mawazo,
Moyo waniuma…
kwa yote ninayotolea jasho.
Naumwa… kwa kweli.
Nim’pata nilichotafuta…
Nim’pata na roho imetulia…
Nim’tafuta na nim’pata.
Kitoto kichanga…
Hukaribishwa na wengi,
‘kishezaliwa tu! safari huanza!
kuishi duniani mkondo wa kwanza.
Wengine safari, kwao huwa fupi…
waliobakia nao mola awanusuru!
kulingana na sheria za wengine ataishi
Hawezi chagua…
mlezi wake duniani,
Hawezi chagua…
kati ya ukafiri na dini.
Amri zifuatwe bila ubishi!
Sio wote hubahatika…Safari hii kuimaliza.
Wengine safari huwa fupi…
wengine ndefu…
wengine safari ya furaha…
wengine safari ya matatizo.
Kisha baleghe…
Uamuzi mikononi mwake…
atakavyoishi ye…
na wengine wanaouhusiano naye,
atakavyofanya ye…
atakavyojitetea jangwani.
Wengine wana safari ngumu…
iliyojaa majaribio na mahangaiko,
Wengine safari, starehe tupu!
Waishije maisha yako?
Wanungunika?
Watesa?
Wateseka?
Wayafurahia?
Kufa…
wengine hujipangia…
wengine hupangiwa…
Kaka husema,
Kuzaliwa bahati…
Kufa lazima.
Nd’o maisha hayo!
Leo nauvunja mtindo wangu wa mashairi maanake naandika kumhusu Maiko wangu ambaye ni mmoja wa watu wa kwanza kuyasoma mashairi yangu nilipokuwa bado kijana. Na nikishesoma kuhusu akina Stela na wengine wengi…wacha nami nimwage mtama kwenye kuku. Read the rest of this entry »
Hapa nyuma ya komputa
Da’ mmoja na ukuta
Nywele sijazitana
Mavazi hayajapatana
Vipodozi havijaambatana
Manukato ni ya jana
Hapa nyuma ya komputa
Mengine mengi yanakolea
Kujificha nyuma ya maneno
yanifanyana nipige nderemo
Ni jinsi ya kuishi na vitetemeko
bila kubabaishwa na vitisho
Urembo wa sura
Ni laana najua
Maumbile yakishakaguliwa
Kwenye pipa watupiliwa
Hapa nyuma ya komputa
Uhuru wangu naupata.
Nipo nyumbani kwenye shughuli kidogo. Kumetulia jijini lakini vijijini bado.
Kukimya kwangu…
sio kumaanisha sina la kusema
maoni sitaki tu kutema
macho zaidi yan’tazama
Kukimya kwangu…
sio kumaanisha maneno sina
hotuba si neno geni ni tabia
moyoni hata hivyo najiimbia
Kukimya kwangu…
sio kuwa wa kusema nae sina
usifikirie kuwa ni ujinga
na tena ujue sio kuringa
Kukimya kwangu…
sio kumaanisha sijui nitamke vipi
bado sijafungwa ulimi
macho nayo bado usingizi
Kukimya kwangu…
ni njia ya kujifunza tena nakwambia
masikio niliyojaliwa yanapata kusikia
walio na lakunena nafasi nawapatia
Kukimya kwangu…
najua ni unyonge wangu
na pia ni nguvu kwangu
hilo lako jibu mwenzangu
Kukimya kwangu…
ni kusema kwangu.
Zubeda usimfiche…
Nishakubali nin’ mke mwenza…
mfikishe nyumbani…
anisaidie kufua…
kazi yake isiwe tu kuchafua…
mnapoenda kusakata rumba…
kisha unrundikie mie dobi wako.
Zubeda hana la kuhofia…
Mila za mababu zetu zam’tambua,
Kwa hivyo vigumu…
nimchome na maji ya moto,
Au nimcharaze…
kwa kumfuata mme wangu,
Au nimuitie gengi…
lim’bwage msituni.
Usiwe na aibu kuwa Zubeda…
wanaume wazuri sio wengi…
dume kwenye boma lazima ligurume…
na akiguruma twamskiza,
asipoguruma hutoroka mke…
‘Mazubeda’ huongezeka.
Kuwa Zubeda si kazi rahisi…
hutakuwa naye asilimia mia,
kipenda roho hula nyama mbichi…
lakini tena,
ujane utakapoasili akitangulia ye
hutakuwa mjane peke yako…
wanetu watakuwa na damu moja…
ukikubali kuwa mke mwenza…
unakubali pia kuwa mlezi mwenza.
Zubeda,
Karibu tufahamiane…
Heri tujuane tukiwa wote tu hai,
kuliko wanetu kulezwa
na ma kambo tusiyemjua…
tabia na sifa.
Karibu mke mwenza,
Simba ameguruma.
Mganga wangu kaona naumwa…
kan’tamkia maneno matamu…
kan’onyesha ukarimu…
kan’punguzia maumivu.
Mganga wangu kanipa dawa…
kan’nyanyua fikira…
kan’ondoa hasira…
kanipa hamu ku*****
Mganga wangu kan’ganga…
kan’weka kwenye nafsi yake…
kan’fanya siwezi mtenga…
kan’wacha kwenye njia panda.
Mganga wangu, mzazi mwenza…
kan’fungulia moyo wake…
kan’ambia kuwa penzi lake halifi…
nitamzika ye’
au
atanizika mi’
Mganga wangu, babake…
usiwakere mababu we!
Ninyunyizie mae…
Joto lin’ondoke
Ninyunyizie mae…
kutuzi un’ondoze
Ninyunyizie mae…
matawi nitawanye
Ninyunyizie mae…
tone hal’kufu
Ninyunyizie mae…
Upeo niupae
Ninyunyizie mae…
Nipe uhai
Rafiki…
narudia neno hili
polepole
nikionja utamu wake
n’natabasamu peke yangu
kwani najua kuwa
rafiki huyu…
ni rafiki wa kweli
milango mingi tum’pitia
madirisha vilevile
um’nisaidia kukusanya kamba zangu
na kuzifuma pamoja
mkeka um’pendeza
bila we rafiki
sijui ungefanana aje.
Rafiki…
n’natabasamu kwani
husiti
kuniambia ukweli ulivyo
yawe machungu
au
yawe matamu
na cha muhimu kabisa
wanipa sikio lako
iwe kwa dakika chache
au masaa kabambe
Rafiki…
washangilia nami
mazuri yanapotokea
na kuniliwaza
n’napopatwa na mazito
Rafiki…
nakupenda.
Asubuhi ya leo
nimeshuhudia ajali
Mwanamke kagongwa na gari
Alikuwa amepotea mawazoni
Aitazama simu
Badala ya kutazama aendako
Breki hizo!
Kilio hicho!
Sitasahau maishani mwangu…
Asubuhi ya leo
N’nafurahia kuishi
Kupumua
Kupenda
Sina malalamiko
kumbuka
Asubuhi ya leo
ni wengi
hawajaiona.
Mbona wanipasua moyo?
Kila dakika upo mawazoni…
Chochote nifanyacho,
nafanya kukufurahisha…
Mbona waniotesha ndoto
hadi mtindo unakuwa glasi moja kila siku?
La sivyo usingizi haunipati….
Mbona wanipandisha joto
kisha kunimwagia maji ya baridi?
Mbona ukanyemelea kwenye panya hili
Na kunifanya nikupende kikumbavu?
Mbona ubavuni kuna
Nafasi isiyojazika?
Lengo lako ushanieleza,
Najua wanitaka…
au wanitania?
Nami nakutaka…
Au nabahatisha?
Lakini
Mbona mambo ya dunia
magumu hivi?
Sisi sote wapumbavu sio?
Twajua tutokapo, hatujui tu tuendako.
Leo nataka nimzungumuzie Ike…
Ike mwenye sauti ya kuvutia…
Ike aliyenifanya nicheke
karibu nimpige teke…
maana sikutaka kucheka kekeke
wakati mawazo ya ‘mme’,
yananiotesha mvi tele.
Ike nimemshinda kwa miaka…
ayajua ya malimwengu si mzaha!
Ike, Ike, Ike…
Asante kwa mda wako.
Matembezi ya huku na kule
Wala hayendeki tena
Mwiba umen’dunga
Nimeshindwa kuutoa
Itabidi nitafute
Wa kuichomoa
Mazungumuzo na huyu na yule
Najua kuwa ni kero
Kuendelea na maisha
Kwani mwisho si leo
Hata bila viatu
Mtoni nitaenda
Kasiki nitalijaza
Kudungwa na mwiba
Ni jambo la kawaida
Kutokana na mambo kadhaa, blogu naiweka kando kwa sasa…Serina.
Kila kukicha shughuli zaniita…
Shughuli lazima, huondoa mawazo.
Kila niangaliapo wadoya wako wa’nifuata…
Nani? lini? wapi?, ripoti wataka.
Kila n’napokuwaza machozi yatirirka…
Kupendwa kum’geuka, kukawa kufungwa.
Kila simu inapolia moyo wanidunda…
Nisipojibu, usiku nitalala wapi?
Kila n’napozungumuza nawe moto wawaka…
Haki yako wasema, kutimiza zako haja.
Kila ukisemacho sikiamini wala…
Miaka imepita, mie tena si fala.
Kila nilalapo nakufikiria ulipo…
Kila niondokapo wanililia nirudi…
Omba maji, ukiwa na kiu
Kiu kitakumaliza, ukilitazama kasiki…
Walitazama kasiki, mwingine anywa…
Mwingine akiyanywa, meza mate pembeni…
Mate ukimeza, koo labanwa…
Koo kubanwa, kiu kuzidi…
Kiu kikizidi, mdomo wakauka…
Mdomo ukikauka, utashindwa kutamka…
Kushindwa kutamka, kujichimbia kisima…
Kisima cha hisia, machozi ya hasira…
Machozi ya hasira, wote watasikitika…
Ukiwa na kiu , omba maji jameni!
Usimwone kafunga kanga…
Ukadhani umefika,
Usimwone mja mzito…
Ukadhani umefika.
Usimringie mwanadada…
Ukidhani umefika,
Usimwonyeshe madharau…
Akaja akapinduka!
Akitupa jicho kwingine…
Usidhani umefika,
Akimpa riziki mwingine…
Ujue bado hujafika.
Usikunje uso unapomwona…
Atajua hujafika,
Na usijaribu kukatisha kona…
Ukitaka we’ kufika.
Wahangaika…
Watatizika…
Na bado hujafika…
Usipotamka ukweli wako
Atajuaje amefika?
Tafadhali zungumuza taratibu
Hata! sitosongea karibu
La sivyo watatusikia
Na kugundua kwanini sikuamini
Mapigo yakishekuwa desturi
Paza sauti mwenzangu
maanake sikio halisikii
Msamaha wamuomba nani
Asiyelala genezani
Kutokana na wako shetani
Wasiwasi unanizunguka
Ni wapi nitapindukia
Unachotaka sikupatii
Kuna mengi hatujayatatua
Kabla mme sijakutii
Mda wetu ulipotelea wapi
Kipenzi ulinipenya vipi
‘Kaniwacha na utupu moyoni
N’naogopa ushavunjika
Maanake sikuweza vumilia
Matumaini yashadidimia
Huwezi nishawishi
Na wala sitaki kujua
Presha sitaki ipande
Heri niishi bila wewe
In’bidi niandike tena
Vitu nane wataka kujua
Vitu nane nit’watambulia
Nimalizapo mi’ kusema
Zamu nanyi m’tapewa
Vitabu ni la kwanza,
hunionyesha mwangaza
Pili, napenda upekee
lakini sio upweke
Kujivunia upishi wangu namba tatu
kuridhisha wengine raha yangu
Nne, marafiki nawathamini
Bado sijajua ni kwa nini
Tano, useremala nim’jaribu
mbao nim’pasua bila aibu
Hata hivyo mazingira nayajali
namba sita sio kwa ajali
Nafasi ya saba naipa ndoto
maisha mazuri kwa wote watoto
La nane mjaze wenyewe
au tuseme tu ni uzembe
Watu nane … zamu yenu
Ndesanjo (sio zile za Ethan…zingine)
na nane mkishewachagua
msisahau pia kuwajulisha
Jibu la Pepo Kato Sio Kavu, na Marazzmatazz
Vizuri umeketi ukadhamiri
Ya daftari pamoja na ya akilini
Kuwa ya dunia siyathamini
Na hamna yeyote ninayemwamini
Asilimia tisainitisa wala zaidi
Kweli usemavyo uchujaji naujua
Hisia zim’kuwa vigumu kuz’fafanua
Ulimwengu kanifunza roho yangu sitofungua
Hamna kama wewe anayenifahamu
Chanzo cha utesi wangu
Mashauri yenye faida bado natafuta
Gumzo na furaha bado zaniepuka
Hisia kuzibania sijui pakupinduka
Upweke, machozi wala hazijamwagika
Duh! Naona bado sijazinduka
Mawimbi baharini kun’ mazuri na mabaya
Kuvuma na kutulia kama waimbaji kwaya
Hupanda na hushuka bila kuelekezwa
Mengi zaidi ya hisia na ndoto sitazitaja
Daima ukavu usije’mi kunipata
Wasema ukavu huu si ukavu
Bali mfano tu kama vile ndoto
Nd’o maanake pepo kavu nikauita
Maana bado n’natumaini kuwa utapita
Mzibaji mwanya at’kapojitokeza
Hisia sizikatai wala sizikani
Majina kuyabandika wala si kazi
Nasubiri at’kaye kaa nami ufukoni
Mtandoni, maktabani na pia mkahawani
Najua siku itafika…lakini sijui lini
Ucheshi wako, utesi wangu
Duh! Kweli kama zamani
uchaguzi kidemokrasia…
yu wepi tuliyemchagua’si?
demokrasia yapeleka nchi mbele…
mafunzo ya wakoloni tushazoea,
bila demokrasia msaada ham’tapokea,
wafuateni wajuao njia msijepotea!
mwasema tuithamini demokrasia…
madawa hospitalini twasubiri,
msingi kwa vijana mliahidi,
barabara vijijini zafika lini?
endesha pajero demokrasia…
petroli gari wajaziwa,
nyumba kodi walipiwa,
masikini naye an’angalia!
lala hotelini demokrasia…
chokora si tatizo langu ’sha kwambia,
kazi yako si ulijichagulia?
niambie kingine kisicho gasia.
umoja ni nguvu twajivunia…
kura zenu mlinipa uhakika gani?
sie nyie mwajiita wapinzani?
mbona mwanililia’mi? Jameni!
majimbo kidemokrasia…
msiukaribie mpaka wetu!
msijichanganye na wakwetu!
msinitatize na shida zenu!!
kama demokrasia wapishe walioteuliwa….
wanichochea bahati haikuwa yako,
uchaguzi ujao labda zamu yako,
si demokrasia kwa wote?
Wakati umewadia
machozi hayatasaidia
moto umefifia
sikutaka kuuzima
mtindo wa maisha
buriani lazima
Wiki mwisho ukiwadia…
Sitaki riziki hata kufikiria!
Kazi mazoea kila jumaa kuisingizia,
kosa lile sitaki tena kulirudia.
Hadithi lile si la kukusimulia…
lakini wataka kujua mbona nalia.
Nyumbani upweke ul’kuwa mtindo nakwambia…
mtindo huo kuuvunja wiki mwisho ulikuwa.
Jumamosi usiku lazima nje nilitembea,
kuna binti moja mrembo niliyemchochea…
Jumapili asubuhi sikumbuki lilotokea,
hata jina la kwanza akilini ‘linipotea.
N’lipomtazama mjusi yule akijipodoa…
mawazo chungu tele, ni lini nil’potea?
Usingizi ul’nitoroka sebuleni al’potokea,
malipo ‘kaitisha haki yake ‘kaniambia!
N’na wasiwasi mdudu labda nim’uokota…
ulevi wangu mpira mbona sikuutumia?
Nyumbani upweke mtindo tena umekuwa…
Mwisho wa wiki sitaki tena kuutambua!
Uvumilivu wako…
wanifanya’mi mvumilivu,
Utu wako…
wanionyesha nia yako,
Ustaarabu wako…
wanipa joto,
Nguvu un’yoonyesha…
wanipa misisimiko,
Ucheshi wako…
wanipa raha,
Usamehevu wako…
wanipa amani,
Subira ulilo nalo…
wan’tuliza moyo.
Nakupenda lakini…
Umbali wako,
wan’chosha.
Mwisho mwezi keshafika,
wafanyi kazi wameridhishwa,
centi mikononi tele…
leo bibi hatapiga kelele.
‘Madamu’ tafadhali chukua taxi…
garama kwangu us’jali!
Majamaa njooni tupige raundi…
vilabu, bia na chagudoa, tuanzie wapi?
Raha ya leo mbona fupi imekuwa?
Ni matatizo tele si wajua…
Kimbia hapa, kimbia pale,
nunua hiki, nunua kile…
Watoto mavazi wan’hitaji,
karo shuleni si utani,
umeme ut’katwa usipowahi,
Bibi naye we! ni mkali!
Mashemeji nao mlangoni,
wezi nao ukingoni…
Sitoo chakula hata sijajaza!
Pesa nikiwa nawe sina raha!
Mboga chemsha na sima kiresheni,
‘bucha’ sipitii ila nifikishwe’mi kichinjoni…
Viatu bila rangi wiki mbili zishapita,
Gari nalo benki wenye mnada walishewaita.
Boi na yaya virago wash’funga,
Bibi kaniacha an’sema mie mjinga!
Mpangishaji naye kampu mlangoni keshapiga,
Pesa bila wewe sina raha!
Niite binti fulani…
kwa maana uhusiano kati
ya wazazi wangu,
ndio kilichonileta duniani.
Niite mama…
kwa maana umeona,
sifa hiyo inanitosha…
ulezi wa wana
nd’o kazi ya kwanza.
Niite mwana…
kwa maana umri wako,
na busara ulionayo,
na kwa heshima kwako…
nitaaitika.
Niite mwanamke…
kwa maana una nia
ya kukiri kuwa
mimi sio mme.
Niite kipepeo cheusi,
kwa maana najisifia
uhuru wangu,
na rangi yangu…
sitotupilia mbali historia yangu.
niite dada,
niite ndugu,
niite mpendwa,
niite mpenzi…
niite adui,
niite kafiri,
niite jasiri…
niite mzembe,
Niite utakacho…
kwa sababu unazozijua mwenyewe…
hautanibadili nilicho.
Kisikusiku haujawahi kufika…
mchana bado haujaondoka,
ushatazama kivuli kwenye maji matulivu?
masiku nayo hupita hivyohivyo … kijivujivu.
Kekeo hajamaliza wimbo wake wa jioni,
Tayari wa asubuhi nausikia masikioni…
Moyoni nasononeka,
na tena nalalamika,
kuwa masaa hayasimami
nami nipate mapumziko…
Kwani siku hizi fupifupi
hazina mwisho?
Niko kwenye likizo,
n’tarudi si tatizo…
bora tu uhai
Mbengu tulizopanda…
Kazi bure tul’ofanya,
Ukamwe mkono wa juu…
Twatazamana na wajukuu!
Pamoja tu kwenye jangwa…
Mawazo tele hamna raha,
Mawingu yatakapofunguka juu…
Mafuriko yatatubeba juu.
Ni nini tutakayofanya,
kuondoa yetu laana?
Mfano mzuri kurithisha
Pamoja tujitahidi…
Mwanzo mpya,
Matumaini mapya,
Mawazo mapya….
yaliyopita si ndwele,
lakini bila historia…
nisingeliona mbele.
Asanta kwako rafiki,
kwa kunionyesha…
ya muhimu duniani,
Kwanza,
kwa kunijulisha…
sie mie peke yangu,
ninayekimya na langu
Pili,
kwa kutumia m’da wako…
usiku kutwa hadi nikaelewa
mafunzo ya mababu zetu
tokea ujamaika,
hadi kisumu
Tatu,
kwa kunikumbusha…
utamu wa lugha,
Nne,
kwa kusisitiza
kuwa utu muhimu,
kuliko chochote kingine…
Na mwisho,
kuwa binadamu,
atofautishwa na wanyama…
kwani anapotaka kwenda msalani,
lazima aombe fursa kwanza!
kwani heshima si utumwa.
Mbona maisha kama pepo kavu?
Usin’ambie kila pepo na m’da wake,
ulimwengu ushanifunza….
Nini n’nalokosa lakini n’nachotamani?
Starehe ya kuketi na kupiga gumzo la kimaana…
Starehe ya kupiga gumzo na mtu aliyekomaa…
Chemchem la mawaidha yenye busara,
Mawazo tasa tukawa tumeyawacha nyuma…
Lakini ucheshi tusiutupilie mbali,
Mshindo wa bahari na mawimbi….
Kwenye miguu yetu tun’poketi ufukoni…
Hali ya anga likibadilika,
Maktabani au mkahawani sawa pia….
Sio kila siku mtandoni….
Niambie sasa,
Ukavu huu utaisha lini?
mchezo wa kuwindana sina mda nao…
tamaa uli’oamsha atautekeleza nani?
Yu wepi at’kaye zima kiu yangu?
Mwanya huu atauziba nani?
Namlilia jirani,
Alikuwa malkia.
Kamkosea nani,
asiye na hisia?
Usiku wa juzi,
Kanieleza yote…
Jinsi aliv’ofikia uamuzi,
Kuwa kalemewa na vyote.
Chini ya mnazi…
Kapatikana Kesho yake.
Kazibwa mdomo,
hatukumsikia…
Kafungwa mikono,
hak’weza ‘jitetea…
Kachapwa viboko,
kawachwa kalegea…
Namlilia jirani,
malkia miongoni mwa malkia.
Kam’ kawaida,
kuwaza na kuwazua…..
nini kipya wauliza?
sina mapya…
matumaini tu!
N’natumaini kuwa u nuru yangu,
Utanionyesha njia wakati wa giza
Utanionyesha mbele n’napofika mwisho
Utaniliwaza n’naposhikwa na msiba
N’natumaini kuwa hutan’peleka mrama,
hata kam’ tum’gombana,
hata kam’ tum’koseana,
hata kam’ tun’ maswala ya kindani
yanayosababisha mapambano.
N’natumaini kuwa hut’nipa kamba,
un’ambie n’ende zangu.
Nim’pokea kamba nyingi maishani mwangu,
n’lizorundika kwenye sitoo,
nafikiria kushona mkeka
n’tauweka kwenye shoo.
N’natumaini matumaini yangu,
Hayat’kupa unyonge…
Jenga nyumba yako
unavyotaka,
tumia udongo au matofali
makuti, mawe au glasi
jenga nyumba uwezano nayo
kifedha
kimuda
kisifa
jenga nyumba itakayo onyesha
ubinafsi wako
‘kisha jenga nyumba,
panda mti kando yake
mti ambao utafaidhika nao…
kwa matunda au kivuli,
au pahali ambapo
nyani na ndege
wanaweza tua na kupata riziki
kwa kukunyelea kichwani,
unapopumzika wewe
kivulini.
tend’keza nyumba yako
na utend’keze mti wako
lakini usisahau ukaupanda
mpakani mwa nyumba
kwa nini wauliza?
mizizi hatari
zitanyemelea polepole
na kubomoa nyumba’ko
sifa zote ul’zopata
zitapotelea kwenye kicheko
cha maadui, marafiki
majirani na hata wapita njia
“kafikiria nini yule?
hakujua mizizi hatari?”
nawaza nikiwazua
ukoloni mambo leo
keti nawe mwenzangu
ujaze mapengo haya
bila kuona haya
ukoloni mambo leo
fadhili au fadhila
tenda wema uende zako
ukongwe kabla uchumba
utumwa bila ujima
fafanua mwenzangu
nurisha walio gizani
kitambulisho kiplastiki
usiukose mfukoni
la sivyo rahisi sana
kutiwa mbaroni
centi vile vile, plastiki
usikose mfukoni
la sivyo
utajikuta kwenye dhiki
nyuso za plastiki
cheka nami n’cheke nawe
ukoloni mambo leo
um’kupata nawe?
Mwenzangu,
hujanisahau
umen’pa moyo
Kila n’napokuwaza
unan’pa moyo
kazi un’yofanya
usiku na mchana
umen’pa moyo
jinsi unav’ong’ang’ana
kukuri kakara
umen’pa moyo
mlango wa kwanza
wa pili na tama
umen’pa moyo
kwa majaribio na raha
machache na mahaba
umen’pa moyo
kwa kun’chekesha na kun’tania
kunielekeza bila kuniangusha
umen’pa moyo
hili langu dua,
akubariki Mola,
na Akupe moyo.
Bilauri kwenye sinia
hugongana
lakini
hazivunjiki
Penzi langu kwako
hivyo hivyo,
mwaka nenda,
mwaka rudi.
Miaka kenda na bado nahesabu
Najaribu kukusahau
tabasamu lako
mavazi yako
mwendo wako
Najaribu,
usiku na mchana
kuachana
kupatikana
na huzuni uliodua tulipoachana
Maji mengi yamepita
chini ya daraja
mengi,
masafi
machafu
mazito
cha muhimu
daraja bado lipo
na twasimama hapo hapo.
Penzi kikohozi
halifichiki
wajijua
mbona washuku
Maoni